SERIKALI YAZINDUA MRADI WA KUIMARISHA HUDUMA ZA AFYA YA MIMEA NA USALAMA WA CHAKULA NCHINI

Na Barnabas Kisengi-Dodoma Katika swala la kuimarisha usalama wa chakula nchini serikali imezindua mradi wa miaka mitatu na miezi sita wa uboreshaji huduma za afya ya mimea Tanzania utakaogharibu kiasi cha EURO milioni 10.1. Naibu waziri wa Kilimo Antony Mavunde amesema hayo katika uzinduzi wa uboreshaji wa afya za mimea kuwa serikali  kupitia Wizara ya