SERIKALI YAZINDUA MRADI WA KUIMARISHA HUDUMA ZA AFYA YA MIMEA NA USALAMA WA CHAKULA NCHINI
Na Barnabas Kisengi-Dodoma Katika swala la kuimarisha usalama wa chakula nchini serikali imezindua mradi wa miaka mitatu na miezi sita wa uboreshaji huduma za afya ya mimea Tanzania utakaogharibu kiasi cha EURO milioni 10.1. Naibu waziri wa Kilimo Antony Mavunde amesema hayo katika uzinduzi wa uboreshaji wa afya za mimea kuwa serikali kupitia Wizara ya
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed